Story za leo: - Tyga amejisalimisha polisi - Wizkid kufunga ndio na manager wake - Nikki Minaj amewachana female rappers wa sasa - Mfumo mpya wa Samsung One UI 4.0 - Snapchat ilikuwa haifanyi kazi - Event mpya ya Apple October 18 - Google TV inaweka uwezo wa kuweka Watchlists na Profiles