Story za Siku: - Kundi la Sauti Sol limetangaza kuwa litatengana baada ya Tour - Mwanamke wa Kwanza kutoka nje ya Dunia - Samsung imekubali kutumia search engine ya Google kwenye simu zake - Instagram ilikuwa haipatikani - Instagram inatengeneza app ambayo itakuwa inafanana na app ya Twitter - WhatsApp itaweka sehemu ya ku-edit message - Fahamu apps 5 ambazo unaweza kutumia na kamera ya simu yako Shukran kwa wafuatiliaji wote, usisahau ku-follow au Subscribe podcast yetu. Bless up sana.