Story za leo: - Mr Eazi ameanzisha mfumo wake wa malipo - PawaPay - Kim Kardashian amegoma kubadili jina - Lil Nas X na Tony Hawk kuhusu kuweka damu zao kwenye bidhaa zao - Instagram kupata comments za "Nah he Twekin" zinazofanana katika posts za Mastaa - FaceID itakuwa inakubali ukivaa Face Mask (Barakoa) - Oppo inataka kutengeneza tablet yake - Google inamlipa Apple ili iwe default search engine katika browser ya Safari.