Story za Siku - Jay Z amejiunga na kujitoa Instagram ndani ya masaa 24 - Will Smith alitaka kumuua baba yake - Wiz Kid na Tems wamefika kwenye tuzo za SOULTRAIN - Miaka ijayo iPhone na Apple Watch zitakuwa na uwezo wa kutambua kama umepata ajali - Facebook inaondoa mfumo wake wa kutambua sura za picha na video - Uhaba wa Semi-conductors unazipa hasara kampuni za Tech - Instagram na twitter Zimeanza kumaliza bifu ugomvi wao uliodumu kwa miaka 9