Story za Siku: - Kim Kardashian na mahusiano yake mapya. - Wizkid hajapoa, ametangaza kutoa Album mpya hivi karibuni. - Adele ametoa list ya nyimbo za Album yake mpya. - Tesla imeanza kuruhusu aina nyingine za magari kuchaji katika vituo vyake. - Snapchat, Facebook, Twitter na YouTube zimepata hasara ya zaidi ya Dola Bilioni 9.8. - Uhispania imefanikiwa katika Teknolojia ya kuwezesha vipofu kuona.